info@ngomesaccos.co.tz

Fax:  0222 923861

Kuhusu NGOME SACCOS

Historia Fupi ya Chama

NGOME SACCOS LTD ni Chama cha ushirika na akiba na mikopo kilichoanzishwa tarehe 30 Aprili mwaka 2007 kwa mjibu wa sheria namba 20 ya mwaka 2003, Kiliandikishwa katika daftari la Serikali na kupewa usajili DSR 991 kama asasi ya kutoa huduma za kifedha.

Wanachama wake ni "Maafisa, Maaskari, Wastaafu pamoja na watumishi wa Umma wa Wizara ya ulinzi na Jeshi la kujenga Taifa na wale waliohamia wizara nyingine wakiwa wanachama Hai wa Ngome SACCOS.

NGOME SACCOS tumekidhi na kutwaa tuzo mbalimbali katika ushirika

Tuzo ya TCDC,Tuzo ya SCCULT, Kutokana na kufanya vizuri.

NGOME SACCOS LIMITED

Zaidi 60% ya wanachama wameboresha Maisha.

WADAU WETU

Hawa ni wadau tunaoshirikiana nao

NGOME SACCOS LIMITED inashirikiana na mashirika mengine ya kifedha katika kuhakikisha inafikisha huduma kwa wateja wake kwa kupitia njia mbalimbali za malipo na uendeshaji, baadhi ya wadau wetu ni :-.

Developed by: Ponce Kihaga  


Visit My Portfolio:   poncefolio.com.